Open Letter To Kanze Dena And Lulu Hassan



Dear Kanze Dena and Lulu Hassan:
Am writing this letter in reply of what you told me after reading the news on citizen tv, I remember very well, wewe Kanze uliniita "mpenzi mtazamaji". Hayo maneno yalinifanya nijihisi ni kana kwamba niko paradiso, Sekunde kathaa kupita, na wewe Lulu ukarudia yale maneno na isitoshe ukasema " ni mimi wako" ...yaani hata hukuogopa Kanze dena mwenye alikua ameniita mpenzi, aki, mimi sasa nishaa amua ni nyinyi wawili napenda, lakini nahofia that ile siku mtajua that mnanipenda nyinyi wote, simtapigana sana juu yangu? Aki msipigane, mimi ndio nawapenda nyinyi wawili juu mlionyesha kwa tv hadharani mbele ya kila mtu kwa kuniita mpenzi mtazamaji na pia kusema " mimi ni wako".
From deepest of my heart, I love you and I will never play you. Thank u for loving me. Am ready to live with you and have family with you two coz am deeply in love with you.

-Courtesy